|  | ||||||||||
| ABC UPPER CLASS || DAR ES SALAAM TO SINGIDA. | 
 ABC UPPER CLASS ||DAR ES SALAAM TO SINGIDA|| KILA SIKU.
Abc Upper Calass.Ni kampuni ya usafirishaji ambayo imedumu na kuendelea kutoa huduma zake kwa kipindi cha takribani muongo mmoja na miaka kadhaa.
Na imedhidi kutanua wigo na uboreshaji wa huduma zake kila siku.
Kutokana na matakwa ya wateja na mabadiliko ya teknolojia inavyozidi kukua.
Kwa maana hapo kabla ilikua ikitumia mabasi ya daraja lakawaida ambayo yalijkua niSCANIA MARCOPOLO lakini.Mbaka hivi sasa wanatumia mabasi ya kichina ambayo ni luxury nayo pia ni YUYONG,na HIGGER
ABC UPPER CLASS|| SAFARI ZAKE NA MAWASILIANO||
Dar es salaam             Singida 
Dar es salaam             Dodoma
MAWASILIANO MAPYA YA ABC UPPER CLASS 
                          Customer Service
                          
                        
                    
                          MANZESE
                          
                        
                    
                          MAGUFULI
                          
                        
                    
                          DODOMA
                          
                        
                    
                          IRINGA
                          
                        
                    
                          MAFINGA
                          
                        
                    
                          SINGIDA 
                          
                        
                    
                          MBEYA
                          
                        
                    
                          NJOMBE
                          
                        
                    

17 comments:
Mpo vizuri Sana na huduma zenu mpo juu Sana
Habarii
ABC POKEENI SIMU. 0754-963160 MBONA HAIPOKELEWI????
usafr wakwend dodom
0754608899
Pokeeni simu tafadhali kuboresha huduma
Simu mbona hazipokelewi?meziweka za nin
Sorry jmn mbon hizi namba hazipokelew
ABC POKEENI SIMU
Habari, kama kuna namba nyengine tafauti na hii wekeni, mana hii haipokelewi
Dar iringa nauli sh ngap?
Habari
Hapo tyu ndo wanafer
Kwakel mnahuduma mbaya kwenye kupokea sim ukilinganisha na kampun zingne
Nataman kutamka maneno makali LAKINI NISEME mnatukwaza huduma yenu ni mbaya mno
Habari za asubuhi ni kweli pana shida ya mawasiliano, wahusika ongezeni namba za huduma za wateja ama za mikoa yote muunganishe ili mteja asikilizwe na yeyote na kuhudumiwa. Dunia hii ni kazi Mtandao sio kizamani makaratasi na simu.
What is your bus fare from Dar to Singida?
Post a Comment