ABC UPPER CLASS || DAR ES SALAAM TO SINGIDA || BOOKING [OFFICE] & CONTACT

ABC UPPER CLASS || DAR ES SALAAM TO SINGIDA ||

ABC UPPER CLASS || DAR ES SALAAM TO SINGIDA ||

ABC UPPER CLASS || DAR ES SALAAM TO SINGIDA ||
ABC UPPER CLASS || DAR ES SALAAM TO SINGIDA.






 ABC UPPER CLASS ||DAR ES SALAAM TO SINGIDA|| KILA SIKU.
Abc Upper Calass.Ni kampuni ya usafirishaji ambayo imedumu na kuendelea kutoa huduma zake kwa kipindi cha takribani muongo mmoja na miaka kadhaa.
Na imedhidi kutanua wigo na uboreshaji wa huduma zake kila siku.
Kutokana na matakwa ya wateja na mabadiliko ya teknolojia inavyozidi kukua.
Kwa maana hapo kabla ilikua ikitumia mabasi ya daraja lakawaida ambayo yalijkua niSCANIA MARCOPOLO lakini.Mbaka hivi sasa wanatumia mabasi ya kichina ambayo ni luxury nayo pia ni YUYONG,na HIGGER

ABC UPPER CLASS|| SAFARI ZAKE NA MAWASILIANO||
Dar es salaam             Singida 
Dar es salaam             Dodoma

 Dar Es Salaam
0754-963160

Post a Comment

17 Comments

  1. Mpo vizuri Sana na huduma zenu mpo juu Sana

    ReplyDelete
  2. ABC POKEENI SIMU. 0754-963160 MBONA HAIPOKELEWI????

    ReplyDelete
  3. Pokeeni simu tafadhali kuboresha huduma

    ReplyDelete
  4. Simu mbona hazipokelewi?meziweka za nin

    ReplyDelete
  5. Sorry jmn mbon hizi namba hazipokelew

    ReplyDelete
  6. Habari, kama kuna namba nyengine tafauti na hii wekeni, mana hii haipokelewi

    ReplyDelete
  7. Kwakel mnahuduma mbaya kwenye kupokea sim ukilinganisha na kampun zingne

    ReplyDelete
  8. Nataman kutamka maneno makali LAKINI NISEME mnatukwaza huduma yenu ni mbaya mno

    ReplyDelete
  9. Habari za asubuhi ni kweli pana shida ya mawasiliano, wahusika ongezeni namba za huduma za wateja ama za mikoa yote muunganishe ili mteja asikilizwe na yeyote na kuhudumiwa. Dunia hii ni kazi Mtandao sio kizamani makaratasi na simu.

    ReplyDelete
  10. What is your bus fare from Dar to Singida?

    ReplyDelete